Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 10:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Hakuna mtu anayeuchukua kutoka kwangu, bali ninautoa kwa hiari yangu. Nina mamlaka ya kuutoa, nami nina mamlaka ya kuupokea tena.+ Nilipokea amri hii kutoka kwa Baba yangu.”

  • Yohana 12:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Kwa maana sijasema kwa uamuzi wangu mwenyewe, bali Baba aliyenituma amenipa amri kuhusu jambo la kutangaza na la kusema.+

  • Yohana 15:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mkishika amri zangu, mtakaa katika upendo wangu, kama vile ambavyo nimeshika amri za Baba na kukaa katika upendo wake.

  • Wafilipi 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Zaidi ya hayo, alipokuja akiwa mwanadamu,* alijinyenyekeza na kuwa mtiifu mpaka kifo,+ ndiyo, kifo juu ya mti wa mateso.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki