Luka 6:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Wenye furaha ni ninyi watu wanapowachukia,+ wanapowatenga,+ wanapowashutumu, na kuwachafulia jina* kwa ajili ya Mwana wa binadamu. Yohana 17:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nimewapa neno lako, lakini ulimwengu umewachukia, kwa sababu wao si sehemu ya ulimwengu,+ kama vile ambavyo mimi si sehemu ya ulimwengu. 1 Petro 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wanashangaa kwa sababu hamwendelei kukimbia pamoja nao katika mwendo uliooza wa upotovu, basi wanawatukana ninyi.+
22 “Wenye furaha ni ninyi watu wanapowachukia,+ wanapowatenga,+ wanapowashutumu, na kuwachafulia jina* kwa ajili ya Mwana wa binadamu.
14 Nimewapa neno lako, lakini ulimwengu umewachukia, kwa sababu wao si sehemu ya ulimwengu,+ kama vile ambavyo mimi si sehemu ya ulimwengu.
4 Wanashangaa kwa sababu hamwendelei kukimbia pamoja nao katika mwendo uliooza wa upotovu, basi wanawatukana ninyi.+