Yohana 14:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Ninawaachia amani; ninawapa amani yangu.+ Siwapi amani kwa njia ile ambayo ulimwengu huitoa. Mioyo yenu isitaabike wala kuogopa. Waefeso 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana yeye ni amani yetu,+ yule aliyefanya vile vikundi viwili kuwa kimoja+ na kuuharibu ukuta wa katikati uliowatenganisha.+
27 Ninawaachia amani; ninawapa amani yangu.+ Siwapi amani kwa njia ile ambayo ulimwengu huitoa. Mioyo yenu isitaabike wala kuogopa.
14 Kwa maana yeye ni amani yetu,+ yule aliyefanya vile vikundi viwili kuwa kimoja+ na kuuharibu ukuta wa katikati uliowatenganisha.+