Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 16:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Nimewaambia mambo haya ili kupitia kwangu muwe na amani.+ Ulimwenguni mtapata dhiki, lakini jipeni moyo! Mimi nimeushinda ulimwengu.”+

  • Waefeso 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana yeye ni amani yetu,+ yule aliyefanya vile vikundi viwili kuwa kimoja+ na kuuharibu ukuta wa katikati uliowatenganisha.+

  • Wafilipi 4:6, 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Msihangaike kuhusiana na jambo lolote,+ bali katika kila jambo kwa sala na dua pamoja na kutoa shukrani, mjulisheni Mungu maombi yenu;+ 7 na amani+ ya Mungu inayozidi uelewaji wote itailinda mioyo yenu+ na nguvu zenu za akili* kupitia Kristo Yesu.

  • Wakolosai 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Pia, acheni amani ya Kristo itawale mioyoni mwenu,*+ kwa maana ninyi, mliitwa kwenye amani hiyo katika mwili mmoja. Na mjionyeshe kuwa wenye shukrani.

  • 2 Wathesalonike 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Basi, Bwana wa amani na aendelee kuwapa amani kwa kila njia.+ Bwana awe nanyi nyote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki