Yohana 14:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Ninawaachia amani; ninawapa amani yangu.+ Siwapi amani kwa njia ile ambayo ulimwengu huitoa. Mioyo yenu isitaabike wala kuogopa. Wafilipi 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 na amani+ ya Mungu inayozidi uelewaji wote itailinda mioyo yenu+ na nguvu zenu za akili* kupitia Kristo Yesu.
27 Ninawaachia amani; ninawapa amani yangu.+ Siwapi amani kwa njia ile ambayo ulimwengu huitoa. Mioyo yenu isitaabike wala kuogopa.
7 na amani+ ya Mungu inayozidi uelewaji wote itailinda mioyo yenu+ na nguvu zenu za akili* kupitia Kristo Yesu.