Mathayo 6:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Kwa hiyo ninawaambia: Acheni kuhangaikia+ uhai wenu* kuhusu kile mtakachokula au kunywa, au juu ya miili yenu kuhusu kile mtakachovaa.+ Je, uhai* si zaidi ya chakula na mwili zaidi ya mavazi?+ Luka 12:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kisha akawaambia wanafunzi wake: “Ndiyo sababu ninawaambia, acheni kuhangaikia uhai wenu* kuhusu kile mtakachokula au miili yenu kuhusu kile mtakachovaa.+
25 “Kwa hiyo ninawaambia: Acheni kuhangaikia+ uhai wenu* kuhusu kile mtakachokula au kunywa, au juu ya miili yenu kuhusu kile mtakachovaa.+ Je, uhai* si zaidi ya chakula na mwili zaidi ya mavazi?+
22 Kisha akawaambia wanafunzi wake: “Ndiyo sababu ninawaambia, acheni kuhangaikia uhai wenu* kuhusu kile mtakachokula au miili yenu kuhusu kile mtakachovaa.+