Yohana 16:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Siku hiyo hamtaniuliza swali lolote. Kwa kweli ninawaambia, mkimwomba Baba jambo lolote,+ atawapa katika jina langu.+ Waroma 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Shangilieni katika tumaini. Vumilieni chini ya dhiki.+ Dumuni katika sala.+ 1 Petro 5:6, 7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa hiyo, jinyenyekezeni chini ya mkono wenye nguvu wa Mungu, ili awainue kwa wakati unaofaa,+ 7 huku mkitupa mahangaiko* yenu yote juu yake,+ kwa sababu yeye anawajali ninyi.+
23 Siku hiyo hamtaniuliza swali lolote. Kwa kweli ninawaambia, mkimwomba Baba jambo lolote,+ atawapa katika jina langu.+
6 Kwa hiyo, jinyenyekezeni chini ya mkono wenye nguvu wa Mungu, ili awainue kwa wakati unaofaa,+ 7 huku mkitupa mahangaiko* yenu yote juu yake,+ kwa sababu yeye anawajali ninyi.+