Yohana 14:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Pia, lolote mtakaloomba katika jina langu nitalifanya, ili Baba atukuzwe kuhusiana na Mwana.+ Yohana 15:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ninyi hamkunichagua, bali mimi niliwachagua na kuwaweka rasmi mwende na kuendelea kuzaa matunda na kwamba matunda yenu yadumu, ili hata mkimwomba Baba jambo lolote katika jina langu, awape.+ 1 Yohana 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na huu ndio uhakika tulio nao kwake,+ kwamba tukiomba chochote kulingana na mapenzi yake, yeye hutusikia.+
16 Ninyi hamkunichagua, bali mimi niliwachagua na kuwaweka rasmi mwende na kuendelea kuzaa matunda na kwamba matunda yenu yadumu, ili hata mkimwomba Baba jambo lolote katika jina langu, awape.+
14 Na huu ndio uhakika tulio nao kwake,+ kwamba tukiomba chochote kulingana na mapenzi yake, yeye hutusikia.+