Waebrania 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Basi na tukikaribie kiti cha ufalme cha fadhili zisizostahiliwa tukiwa na uhuru wa kusema,+ ili tupokee rehema na kupata fadhili zisizostahiliwa tunapohitaji msaada.* 1 Yohana 3:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Wapendwa, ikiwa mioyo yetu haituhukumu, tuna uhuru wa kusema na Mungu;+
16 Basi na tukikaribie kiti cha ufalme cha fadhili zisizostahiliwa tukiwa na uhuru wa kusema,+ ili tupokee rehema na kupata fadhili zisizostahiliwa tunapohitaji msaada.*