Waebrania 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Basi na tukikaribie kiti cha ufalme cha fadhili zisizostahiliwa tukiwa na uhuru wa kusema,+ ili tupokee rehema na kupata fadhili zisizostahiliwa tunapohitaji msaada.* 1 Yohana 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na huu ndio uhakika tulio nao kwake,+ kwamba tukiomba chochote kulingana na mapenzi yake, yeye hutusikia.+
16 Basi na tukikaribie kiti cha ufalme cha fadhili zisizostahiliwa tukiwa na uhuru wa kusema,+ ili tupokee rehema na kupata fadhili zisizostahiliwa tunapohitaji msaada.*
14 Na huu ndio uhakika tulio nao kwake,+ kwamba tukiomba chochote kulingana na mapenzi yake, yeye hutusikia.+