Mathayo 20:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Yesu akajibu: “Hamjui kile mnachoomba. Je, mnaweza kunywa kikombe ambacho niko karibu kukinywa?”+ Wakamwambia: “Tunaweza.” Mathayo 26:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Akaenda tena mara ya pili na kusali: “Baba yangu, ikiwa siwezi kuepuka kunywa kikombe hiki, acha mapenzi yako yatendeke.”+
22 Yesu akajibu: “Hamjui kile mnachoomba. Je, mnaweza kunywa kikombe ambacho niko karibu kukinywa?”+ Wakamwambia: “Tunaweza.”
42 Akaenda tena mara ya pili na kusali: “Baba yangu, ikiwa siwezi kuepuka kunywa kikombe hiki, acha mapenzi yako yatendeke.”+