Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 26:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Akasonga mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akasali:+ “Baba yangu, ikiwa inawezekana, niondolee kikombe hiki.+ Lakini, si kama ninavyopenda, bali kama unavyopenda.”+

  • Marko 10:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Lakini Yesu akawaambia: “Hamjui kile mnachoomba. Je, mnaweza kunywa kikombe ambacho ninakunywa au kubatizwa kwa ubatizo ninaobatizwa?”+

  • Marko 14:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Naye akasema: “Abba,* Baba,+ mambo yote yanawezekana kwako; niondolee kikombe hiki. Lakini si kama ninavyotaka, bali unavyotaka.”+

  • Yohana 18:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Hata hivyo, Yesu akamwambia Petro: “Rudisha upanga ndani ya ala yake.+ Je, sipaswi kukinywa kikombe ambacho Baba amenipa?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki