Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 20:22, 23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Yesu akajibu: “Hamjui kile mnachoomba. Je, mnaweza kunywa kikombe ambacho niko karibu kukinywa?”+ Wakamwambia: “Tunaweza.” 23 Akawaambia: “Kwa kweli mtakunywa kikombe changu,+ lakini kuketi upande wangu wa kuume na upande wangu wa kushoto si haki yangu kutoa, bali wataketi wale ambao Baba yangu amewatayarishia.”+

  • Luka 12:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Kwa kweli, kuna ubatizo ninaopaswa kubatizwa, na ninataabika sana mpaka umalizike!+

  • Yohana 18:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Hata hivyo, Yesu akamwambia Petro: “Rudisha upanga ndani ya ala yake.+ Je, sipaswi kukinywa kikombe ambacho Baba amenipa?”+

  • Waroma 6:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Au je, hamjui kwamba sisi sote tuliobatizwa katika Kristo Yesu+ tulibatizwa katika kifo chake?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki