17 Basi, ikiwa sisi ni watoto, sisi pia ni warithi—warithi wa Mungu kwelikweli, lakini warithi pamoja+ na Kristo—mradi tu tunateseka pamoja+ ili pia tutukuzwe pamoja.+
7 Na tumaini letu kwa ajili yenu haliyumbi-yumbi, kwa kuwa tunajua kwamba kama vile mnavyoshiriki katika mateso, ndivyo pia mtakavyoshiriki katika faraja.+
9 Mimi Yohana, ndugu yenu na mshiriki pamoja nanyi katika dhiki+ na ufalme+ na uvumilivu+ katika ushirika na Yesu,+ nilikuwa katika kisiwa kinachoitwa Patmo kwa sababu ya kuzungumza kumhusu Mungu na kutoa ushahidi kumhusu Yesu.