Waroma 8:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana ninaona kwamba mateso ya wakati huu si kitu yakilinganishwa na utukufu utakaofunuliwa ndani yetu.+ 2 Timotheo 2:11, 12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Maneno haya yanategemeka: Hakika ikiwa tulikufa pamoja, tutaishi pamoja pia;+ 12 tukiendelea kuvumilia, tutatawala pamoja pia tukiwa wafalme;+ tukimkana, naye pia atatukana sisi;+
18 Kwa maana ninaona kwamba mateso ya wakati huu si kitu yakilinganishwa na utukufu utakaofunuliwa ndani yetu.+
11 Maneno haya yanategemeka: Hakika ikiwa tulikufa pamoja, tutaishi pamoja pia;+ 12 tukiendelea kuvumilia, tutatawala pamoja pia tukiwa wafalme;+ tukimkana, naye pia atatukana sisi;+