-
Mathayo 26:74Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
74 Ndipo akaanza kulaani na kuapa: “Simjui mtu huyo!” Na mara moja jogoo akawika.
-
-
Luka 22:60Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
60 Lakini Petro akasema: “Wewe mtu, mimi sielewi unachosema.” Mara tu alipokuwa akisema, jogoo akawika.
-