Luka 24:6-8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hayupo hapa, amefufuliwa. Kumbukeni jinsi alivyowaambia alipokuwa Galilaya, 7 kwamba Mwana wa binadamu lazima atiwe mikononi mwa wenye dhambi na kuuawa kwenye mti na siku ya tatu afufuliwe.”+ 8 Ndipo wakakumbuka maneno yake,+
6 Hayupo hapa, amefufuliwa. Kumbukeni jinsi alivyowaambia alipokuwa Galilaya, 7 kwamba Mwana wa binadamu lazima atiwe mikononi mwa wenye dhambi na kuuawa kwenye mti na siku ya tatu afufuliwe.”+ 8 Ndipo wakakumbuka maneno yake,+