Mathayo 27:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Pilato akawaambia: “Basi, nifanye nini na Yesu anayeitwa Kristo?” Wote wakasema: “Atundikwe mtini!”*+ Marko 15:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa mara nyingine tena wakapaza sauti: “Atundikwe mtini!”*+ Luka 23:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Ndipo wakaanza kupiga kelele, wakisema: “Atundikwe mtini! Atundikwe mtini!”*+
22 Pilato akawaambia: “Basi, nifanye nini na Yesu anayeitwa Kristo?” Wote wakasema: “Atundikwe mtini!”*+