50 Nikodemo, aliyekuwa amemwendea hapo mwanzoni, na ambaye pia alikuwa mmoja wao akawaambia: 51 “Kulingana na Sheria yetu, kabla ya kumhukumu mtu, tunapaswa kumsikiliza ili tujue anachofanya, sivyo?”+
39 Nikodemo,+ yule mtu aliyemjia usiku mara ya kwanza, akaja pia akiwa amebeba mchanganyiko* wa manemane na udi, wenye uzito wa karibu ratili* mia moja.+