-
Mambo ya Walawi 23:5-7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Katika siku ya 14 ya mwezi wa kwanza,+ wakati wa jioni kabla ya giza kuingia* ni Pasaka+ ya Yehova.
6 “‘Siku ya 15 ya mwezi huo ni Sherehe ya Yehova ya Mikate Isiyo na Chachu.+ Kwa siku saba mnapaswa kula mikate isiyo na chachu.+ 7 Siku ya kwanza, mtakuwa na kusanyiko takatifu.+ Hampaswi kufanya kazi yoyote ngumu.
-