Yohana 10:14, 15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mimi ndiye mchungaji mwema. Ninawajua kondoo wangu nao kondoo wangu wananijua,+ 15 kama Baba anavyonijua mimi, nami ninavyomjua Baba;+ na ninatoa uhai wangu* kwa ajili ya kondoo.+
14 Mimi ndiye mchungaji mwema. Ninawajua kondoo wangu nao kondoo wangu wananijua,+ 15 kama Baba anavyonijua mimi, nami ninavyomjua Baba;+ na ninatoa uhai wangu* kwa ajili ya kondoo.+