Mathayo 20:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa uhai wake* uwe fidia badala ya wengi.”+ Yohana 15:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hakuna mtu aliye na upendo mkuu kuliko huu, kwamba mtu atoe uhai wake* kwa ajili ya rafiki zake.+ 1 Yohana 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Sisi tumeujua upendo, kwa sababu huyo alitoa uhai wake* kwa ajili yetu,+ nasi tuna wajibu wa kutoa uhai wetu* kwa ajili ya ndugu zetu.+
28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa uhai wake* uwe fidia badala ya wengi.”+
16 Sisi tumeujua upendo, kwa sababu huyo alitoa uhai wake* kwa ajili yetu,+ nasi tuna wajibu wa kutoa uhai wetu* kwa ajili ya ndugu zetu.+