Mathayo 14:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Herode* alikuwa amemkamata Yohana akamfunga na kumtia gerezani kwa sababu ya Herodia, mke wa Filipo ndugu yake.+ Luka 3:19, 20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Yohana alikuwa amemkaripia Herode mtawala wa wilaya kwa kumchukua Herodia mke wa ndugu yake na kwa sababu ya matendo yote maovu ambayo Herode alikuwa amefanya, 20 aliongeza hili pia kwenye matendo hayo yote: Alimfunga Yohana gerezani.+
3 Herode* alikuwa amemkamata Yohana akamfunga na kumtia gerezani kwa sababu ya Herodia, mke wa Filipo ndugu yake.+
19 Yohana alikuwa amemkaripia Herode mtawala wa wilaya kwa kumchukua Herodia mke wa ndugu yake na kwa sababu ya matendo yote maovu ambayo Herode alikuwa amefanya, 20 aliongeza hili pia kwenye matendo hayo yote: Alimfunga Yohana gerezani.+