Matendo 11:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kutaniko lililokuwa Yerusalemu likasikia kuwahusu, nao wakamtuma Barnaba+ mpaka Antiokia. Matendo 12:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nao Barnaba+ na Sauli, baada ya kutimiza kikamili kazi ya kutoa msaada huko Yerusalemu,+ wakarudi na kumchukua Yohana,+ ambaye pia aliitwa Marko, aende pamoja nao.
25 Nao Barnaba+ na Sauli, baada ya kutimiza kikamili kazi ya kutoa msaada huko Yerusalemu,+ wakarudi na kumchukua Yohana,+ ambaye pia aliitwa Marko, aende pamoja nao.