Yohana 10:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 na Yesu alikuwa akitembea hekaluni kwenye safu ya nguzo za Sulemani.+ Matendo 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mtu huyo akiwa bado amewashika Petro na Yohana, watu wote wakawakimbilia pamoja kwenye sehemu iliyoitwa Safu ya Nguzo za Sulemani,+ wakiwa wameshangaa sana.
11 Mtu huyo akiwa bado amewashika Petro na Yohana, watu wote wakawakimbilia pamoja kwenye sehemu iliyoitwa Safu ya Nguzo za Sulemani,+ wakiwa wameshangaa sana.