2 Na tazama! tetemeko kubwa la ardhi lilikuwa limetokea, kwa maana malaika wa Yehova alikuwa ameshuka kutoka mbinguni akaja na kuliviringisha lile jiwe, naye alikuwa amelikalia.+ 3 Alikuwa aking’aa kama radi, na mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji.+