Yohana 12:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Hata hivyo, watawala wengi kwa kweli walimwamini,+ lakini hawakumkiri kwa sababu waliwaogopa Mafarisayo, ili wasifukuzwe katika sinagogi;+ Matendo 15:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Lakini baadhi ya wale wa madhehebu ya Mafarisayo ambao sasa walikuwa waamini wakasimama kutoka kwenye viti vyao na kusema: “Ni lazima watahiriwe na kuwaamuru washike Sheria ya Musa.”+
42 Hata hivyo, watawala wengi kwa kweli walimwamini,+ lakini hawakumkiri kwa sababu waliwaogopa Mafarisayo, ili wasifukuzwe katika sinagogi;+
5 Lakini baadhi ya wale wa madhehebu ya Mafarisayo ambao sasa walikuwa waamini wakasimama kutoka kwenye viti vyao na kusema: “Ni lazima watahiriwe na kuwaamuru washike Sheria ya Musa.”+