2 Lakini Yehova alikuwa pamoja na Yosefu.+ Kwa hiyo akafanikiwa na kuwekwa kuwa msimamizi wa nyumba ya bwana wake, yule Mmisri. 3 Bwana wake akaona kwamba Yehova alikuwa pamoja naye na kwamba Yehova alikuwa akifanikisha kila jambo alilokuwa akifanya.