2 Wakorintho 11:32, 33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Huko Damasko gavana aliye chini ya Areta mfalme alikuwa akilinda jiji la Wadamasko ili kunikamata, 33 lakini nilishushwa katika kapu kupitia dirisha kwenye ukuta wa jiji,+ nami nikaiponyoka mikono yake.
32 Huko Damasko gavana aliye chini ya Areta mfalme alikuwa akilinda jiji la Wadamasko ili kunikamata, 33 lakini nilishushwa katika kapu kupitia dirisha kwenye ukuta wa jiji,+ nami nikaiponyoka mikono yake.