-
Matendo 4:9, 10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
9 ikiwa tunahojiwa leo kuhusu tendo jema alilofanyiwa mtu huyu aliyekuwa kilema,+ na ikiwa mnataka kujua aliyemponya, 10 na ijulikane kwenu nyote na kwa watu wote wa Israeli kwamba katika jina la Yesu Kristo Mnazareti,+ ambaye mlimuua kwenye mti+ lakini Mungu akamfufua kutoka kwa wafu,+ kupitia kwake mtu huyu anasimama hapa mbele yenu akiwa ameponywa.
-