31 Na baada ya kutoa dua,* mahali walipokuwa wamekusanyika pakatikiswa, na kila mmoja wao akajazwa roho takatifu+ nao walikuwa wakitangaza neno la Mungu kwa ujasiri.+
14 Mitume huko Yerusalemu waliposikia kwamba Samaria imelikubali neno la Mungu,+ wakawatuma Petro na Yohana kwao; 15 nao wakashuka kwenda huko, wakasali kwa ajili yao ili wapate roho takatifu.+