45 Nao waamini* waliotahiriwa ambao walikuwa wamekuja pamoja na Petro wakashangaa, kwa sababu zawadi ya bure ya roho takatifu ilikuwa ikimiminwa pia juu ya watu wa mataifa.
12 Kwa maana kabla ya watu fulani kutoka kwa Yakobo+ kufika, alikuwa akila chakula pamoja na watu wa mataifa;+ lakini walipofika, akaacha kufanya hivyo, akajitenga kwa kuwaogopa wale waliotahiriwa.+