Matendo 11:22, 23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kutaniko lililokuwa Yerusalemu likasikia kuwahusu, nao wakamtuma Barnaba+ mpaka Antiokia. 23 Alipofika na kuziona fadhili zisizostahiliwa za Mungu, akashangilia na kuanza kuwatia moyo wote waendelee kukaa katika Bwana wakiwa wameazimia moyoni;+
22 Kutaniko lililokuwa Yerusalemu likasikia kuwahusu, nao wakamtuma Barnaba+ mpaka Antiokia. 23 Alipofika na kuziona fadhili zisizostahiliwa za Mungu, akashangilia na kuanza kuwatia moyo wote waendelee kukaa katika Bwana wakiwa wameazimia moyoni;+