Matendo 13:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Baada ya kusoma hadharani Sheria+ na Manabii, maofisa wasimamizi wa sinagogi wakawatuma watu kwao, wakisema: “Wanaume, akina ndugu, ikiwa mna neno lolote la kuwatia moyo watu, lisemeni.” 2 Wakorintho 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa kweli, mpaka leo kila mara maandishi ya Musa yanaposomwa,+ kitambaa hukaa juu ya mioyo yao.+
15 Baada ya kusoma hadharani Sheria+ na Manabii, maofisa wasimamizi wa sinagogi wakawatuma watu kwao, wakisema: “Wanaume, akina ndugu, ikiwa mna neno lolote la kuwatia moyo watu, lisemeni.”