25 Lakini Yesu akamkemea, akisema: “Nyamaza, na umtoke!” 26 Na yule roho mwovu, baada ya kumfanya mtu huyo agaegae na kupiga kelele kwa sauti kubwa, akamtoka.
34 Basi akawaponya watu wengi waliokuwa na magonjwa mbalimbali,+ akafukuza roho wengi waovu, lakini hakuwaruhusu hao roho waovu waseme, kwa maana walijua yeye ni Kristo.*