Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 17:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kisha Yesu akamkemea yule roho mwovu, naye akamtoka, na yule mvulana akapona kuanzia saa hiyo.+

  • Marko 1:25, 26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Lakini Yesu akamkemea, akisema: “Nyamaza, na umtoke!” 26 Na yule roho mwovu, baada ya kumfanya mtu huyo agaegae na kupiga kelele kwa sauti kubwa, akamtoka.

  • Marko 1:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Basi akawaponya watu wengi waliokuwa na magonjwa mbalimbali,+ akafukuza roho wengi waovu, lakini hakuwaruhusu hao roho waovu waseme, kwa maana walijua yeye ni Kristo.*

  • Luka 9:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndipo akawaita pamoja wale 12, akawapa nguvu na mamlaka ya kufukuza roho wote waovu+ na kuponya magonjwa.+

  • Luka 10:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Ndipo wale 70 wakarudi wakiwa na shangwe, wakisema: “Bwana, hata tunawatiisha roho waovu kwa kutumia jina lako.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki