Matendo 23:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Nikatambua kwamba ameshtakiwa kuhusu maswali ya Sheria yao,+ lakini hajashtakiwa kwa jambo lolote linalostahili kifo au kufungwa gerezani. Matendo 25:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ila tu walikuwa wakibishana naye kuhusu ibada yao ya mungu*+ na kuhusu mtu fulani anayeitwa Yesu ambaye alikufa, lakini ambaye Paulo alikuwa akisisitiza kwamba yuko hai.+
29 Nikatambua kwamba ameshtakiwa kuhusu maswali ya Sheria yao,+ lakini hajashtakiwa kwa jambo lolote linalostahili kifo au kufungwa gerezani.
19 Ila tu walikuwa wakibishana naye kuhusu ibada yao ya mungu*+ na kuhusu mtu fulani anayeitwa Yesu ambaye alikufa, lakini ambaye Paulo alikuwa akisisitiza kwamba yuko hai.+