Matendo 15:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Baada ya siku kadhaa, Paulo akamwambia Barnaba: “Turudi* tukawatembelee akina ndugu katika kila jiji ambalo tulitangaza neno la Yehova* tuone jinsi wanavyoendelea.”+
36 Baada ya siku kadhaa, Paulo akamwambia Barnaba: “Turudi* tukawatembelee akina ndugu katika kila jiji ambalo tulitangaza neno la Yehova* tuone jinsi wanavyoendelea.”+