Waefeso 6:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi ili ninyi pia mjue kunihusu na jinsi ninavyoendelea, Tikiko,+ ndugu mpendwa na mhudumu mwaminifu katika Bwana, atawajulisha mambo yote.+ Wakolosai 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Tikiko,+ ndugu yangu mpendwa na mhudumu mwaminifu na mtumwa mwenzangu katika Bwana, atawaambia habari zote kunihusu. 2 Timotheo 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini nimemtuma Tikiko+ aende Efeso.
21 Basi ili ninyi pia mjue kunihusu na jinsi ninavyoendelea, Tikiko,+ ndugu mpendwa na mhudumu mwaminifu katika Bwana, atawajulisha mambo yote.+
7 Tikiko,+ ndugu yangu mpendwa na mhudumu mwaminifu na mtumwa mwenzangu katika Bwana, atawaambia habari zote kunihusu.