17 ‘“Na katika siku za mwisho,” Mungu asema, “Nitaimimina sehemu ya roho yangu juu ya kila aina ya mwili, na wana wenu na mabinti wenu watatoa unabii, nao wanaume wenu vijana wataona maono, na wanaume wenu wazee wataota ndoto,+
5 lakini kila mwanamke anayesali au kutoa unabii+ bila kufunika kichwa chake anakiaibisha kichwa chake, kwa maana ni kana kwamba yeye ni mwanamke mwenye kichwa kilichonyolewa.