22 Na sasa, tazameni! nikiwa nimefungwa katika roho, ninasafiri kwenda Yerusalemu, ingawa sijui mambo yatakayonipata huko, 23 isipokuwa kutoka jiji mpaka jiji roho takatifu inanitolea ushahidi tena na tena, ikisema kwamba nitafungwa gerezani na kupatwa na dhiki.+