Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 12:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Lakini akawapungia mkono wanyamaze na kuwaambia kirefu jinsi Yehova* alivyomtoa gerezani, naye akasema: “Waambieni Yakobo+ na akina ndugu mambo haya.” Ndipo akatoka, akasafiri kwenda mahali pengine.

  • Matendo 15:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Walipomaliza kuzungumza, Yakobo akasema: “Wanaume, akina ndugu, nisikilizeni.

  • Wagalatia 1:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Lakini sikuwaona wale mitume wengine, isipokuwa Yakobo+ ndugu ya Bwana.

  • Wagalatia 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 nao walipotambua fadhili zisizostahiliwa nilizopewa,+ Yakobo+ na Kefa* na Yohana, ambao walionekana kuwa nguzo, walinipa mimi na Barnaba+ mkono wa kulia wa kushirikiana,* ili sisi twende kwa mataifa, nao waende kwa watu waliotahiriwa.

  • Yakobo 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Yakobo,+ mtumwa wa Mungu na wa Bwana Yesu Kristo, kwa yale makabila 12 yaliyotawanyika sehemu mbalimbali:

      Salamu!

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki