Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 27:23, 24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Usiku huu malaika+ wa Mungu ambaye mimi ni mali yake na ambaye ninamtolea utumishi mtakatifu, alisimama kando yangu 24 akasema: ‘Usiogope, Paulo. Utasimama mbele ya Kaisari,+ na tazama! Mungu amekupa wale wote wanaosafiri pamoja nawe.’

  • Matendo 28:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Basi wakapanga siku ya kukutana pamoja naye, nao wakaja wakiwa wengi hata zaidi mahali alipoishi. Na kuanzia asubuhi mpaka jioni, akawafafanulia jambo hilo na kutoa ushahidi kamili kuhusu Ufalme wa Mungu, ili kuwashawishi kumhusu Yesu+ kwa kutumia Sheria ya Musa+ na pia Manabii.+

  • Matendo 28:30, 31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Kwa hiyo akakaa huko kwa miaka miwili kamili katika nyumba yake ya kukodi,+ naye alikuwa akiwakaribisha kwa fadhili wale wote waliomtembelea, 31 akiwahubiria Ufalme wa Mungu na kuwafundisha kumhusu Bwana Yesu Kristo kwa uhuru mwingi wa kusema,*+ bila kizuizi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki