-
Matendo 21:27, 28Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
27 Sasa zile siku saba zilipokaribia kwisha, Wayahudi kutoka Asia walipomwona hekaluni, wakauchochea umati wote, nao wakamkamata, 28 wakisema kwa sauti kubwa: “Wanaume wa Israeli, tusaidieni! Huyu ndiye mwanamume anayewafundisha watu kila mahali dhidi ya watu wetu na Sheria yetu na mahali hapa. Isitoshe, hata aliwaingiza Wagiriki hekaluni naye amepatia unajisi mahali hapa patakatifu.”+
-