Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 23:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Paulo akaikazia macho Sanhedrini, akasema: “Wanaume, akina ndugu, nimetenda kwa dhamiri safi kabisa+ mbele za Mungu mpaka leo hii.”

  • 1 Wakorintho 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa maana sioni kosa lolote dhidi yangu mwenyewe. Lakini hilo halithibitishi kuwa mimi ni mwadilifu; anayenichunguza ni Yehova.*+

  • Waebrania 13:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Endeleeni kusali kwa ajili yetu, kwa maana tuna hakika kwamba tuna dhamiri nyoofu,* kwa kuwa tunataka kujiendesha kwa unyoofu katika mambo yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki