Matendo 23:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Paulo akaikazia macho Sanhedrini, akasema: “Wanaume, akina ndugu, nimetenda kwa dhamiri safi kabisa+ mbele za Mungu mpaka leo hii.” 1 Wakorintho 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana sioni kosa lolote dhidi yangu mwenyewe. Lakini hilo halithibitishi kuwa mimi ni mwadilifu; anayenichunguza ni Yehova.*+ Waebrania 13:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Endeleeni kusali kwa ajili yetu, kwa maana tuna hakika kwamba tuna dhamiri nyoofu,* kwa kuwa tunataka kujiendesha kwa unyoofu katika mambo yote.+
23 Paulo akaikazia macho Sanhedrini, akasema: “Wanaume, akina ndugu, nimetenda kwa dhamiri safi kabisa+ mbele za Mungu mpaka leo hii.”
4 Kwa maana sioni kosa lolote dhidi yangu mwenyewe. Lakini hilo halithibitishi kuwa mimi ni mwadilifu; anayenichunguza ni Yehova.*+
18 Endeleeni kusali kwa ajili yetu, kwa maana tuna hakika kwamba tuna dhamiri nyoofu,* kwa kuwa tunataka kujiendesha kwa unyoofu katika mambo yote.+