Matendo 23:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Sasa Paulo, akijua kwamba sehemu moja ilikuwa Masadukayo na nyingine Mafarisayo, akasema kwa sauti kubwa katika Sanhedrini: “Wanaume, akina ndugu, mimi ni Farisayo,+ mwana wa Mafarisayo. Ninahukumiwa kwa sababu ya tumaini la ufufuo wa wafu.”
6 Sasa Paulo, akijua kwamba sehemu moja ilikuwa Masadukayo na nyingine Mafarisayo, akasema kwa sauti kubwa katika Sanhedrini: “Wanaume, akina ndugu, mimi ni Farisayo,+ mwana wa Mafarisayo. Ninahukumiwa kwa sababu ya tumaini la ufufuo wa wafu.”