14 Akasema: ‘Mungu wa mababu zetu amekuchagua ujue mapenzi yake na umwone yule aliye mwadilifu+ na kuisikia sauti ya kinywa chake, 15 kwa sababu utakuwa shahidi wake kwa watu wote kuhusu mambo ambayo umeona na kusikia.+
11 Akina ndugu, ningependa mjue kwamba habari njema niliyowatangazia haitokani na wanadamu;+12 kwa kuwa sikuipokea kutoka kwa mwanadamu, wala sikufundishwa, bali ilikuwa kupitia ufunuo wa Yesu Kristo.