Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 23:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Klaudio Lisia kwa Mtukufu, Gavana Feliksi: Salamu!

  • Matendo 23:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Nikatambua kwamba ameshtakiwa kuhusu maswali ya Sheria yao,+ lakini hajashtakiwa kwa jambo lolote linalostahili kifo au kufungwa gerezani.

  • Matendo 25:24, 25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Festo akasema: “Mfalme Agripa na nyote mlio hapa pamoja nasi, mnamwona mtu huyu ambaye Wayahudi wote wameniomba huko Yerusalemu na huku pia, wakipaza sauti kwamba hapaswi kuendelea kuishi.+ 25 Lakini nikaona kwamba hakuwa amefanya jambo lolote linalostahili kifo.+ Basi mtu huyu alipokata rufaa kwa Augusto Mkuu, niliamua kumpeleka.

  • Matendo 26:31, 32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Lakini walipokuwa wakiondoka wakaanza kuambiana: “Mtu huyu hafanyi lolote linalostahili kifo au vifungo vya gereza.”+ 32 Kisha Agripa akamwambia Festo: “Mtu huyu angefunguliwa kama hangekuwa amekata rufaa kwa Kaisari.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki