Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 5:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Msifikiri nilikuja kuharibu Sheria au Manabii. Sikuja kuharibu, bali kutimiza.+

  • Waroma 8:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kile ambacho Sheria ilishindwa kufanya+ kwa sababu ilikuwa dhaifu+ kupitia mwili, Mungu alifanya kwa kumtuma Mwana wake mwenyewe+ akiwa katika mfano wa mwili wenye dhambi+ na kuhusu dhambi, akiihukumu dhambi katika mwili, 4 ili takwa la uadilifu la Sheria litimizwe ndani yetu+ sisi tunaotembea, si kulingana na mwili, bali kulingana na roho.+

  • Waroma 13:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Upendo haumfanyii uovu jirani;+ kwa hiyo, upendo ndio utimizo wa sheria.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki