-
Waroma 8:3, 4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 Kile ambacho Sheria ilishindwa kufanya+ kwa sababu ilikuwa dhaifu+ kupitia mwili, Mungu alifanya kwa kumtuma Mwana wake mwenyewe+ akiwa katika mfano wa mwili wenye dhambi+ na kuhusu dhambi, akiihukumu dhambi katika mwili, 4 ili takwa la uadilifu la Sheria litimizwe ndani yetu+ sisi tunaotembea, si kulingana na mwili, bali kulingana na roho.+
-