Waefeso 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana yeye ni amani yetu,+ yule aliyefanya vile vikundi viwili kuwa kimoja+ na kuuharibu ukuta wa katikati uliowatenganisha.+
14 Kwa maana yeye ni amani yetu,+ yule aliyefanya vile vikundi viwili kuwa kimoja+ na kuuharibu ukuta wa katikati uliowatenganisha.+