13 Wala msiendelee kuitoa miili yenu* kwa dhambi kuwa silaha za ukosefu wa uadilifu, bali jitoeni wenyewe kwa Mungu kama walio hai kutoka kwa wafu, pia toeni miili yenu* kwa Mungu kuwa silaha za uadilifu.+
17 Kwa maana mwili katika tamaa yake unapingana na roho, na roho inapingana na mwili; vitu hivyo vinapingana, hivi kwamba hamfanyi mambo mnayotaka kufanya.+